Monday, June 24, 2013

HUYU NI MKALI SANA,ANAIJUA VIZURI SHERIA NAMBA 10 KTK SOKA



Sheria namba 10 ya Mpira wa Miguu ni ile ya ufungaji.Viungo vyote vimeruhusiwa kushinda goli isipokuwa mikono.Pia
a.Kusiwe na kosa lililojotokea kabla ya mpira 
   kuvuka mstari wa goli(goal line)
b.Hapakuwa na muito wa filimbi kabla ya mpira 
   kupigwa.
c.Mchezaji hakuwa ameotea...







hwally12@gmail.com

No comments:

Post a Comment